Ezekieli 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+ Ezekieli 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu wakati wa jioni kabla ya kuja kwa huyo aliyeponyoka,+ na Yeye akakifungua kinywa changu kabla ya huyo kunijia wakati wa asubuhi, nacho kinywa changu kilikuwa kimefunguliwa nami sikuwa bubu tena.+
27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+
22 Basi mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu wakati wa jioni kabla ya kuja kwa huyo aliyeponyoka,+ na Yeye akakifungua kinywa changu kabla ya huyo kunijia wakati wa asubuhi, nacho kinywa changu kilikuwa kimefunguliwa nami sikuwa bubu tena.+