Ezekieli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami ninaposema nawe, nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’ Anayesikia na asikie,+ na anayekataa na akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+
27 Nami ninaposema nawe, nitakifungua kinywa chako, nawe utawaambia,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’ Anayesikia na asikie,+ na anayekataa na akatae, kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+