Ezekieli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini ninapozungumza nawe nitafungua kinywa chako, nawe lazima uwaambie,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyosema.’ Anayesikiliza na asikilize,+ na anayekataa kusikiliza na akatae, kwa sababu wao ni nyumba ya uasi.+
27 Lakini ninapozungumza nawe nitafungua kinywa chako, nawe lazima uwaambie,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyosema.’ Anayesikiliza na asikilize,+ na anayekataa kusikiliza na akatae, kwa sababu wao ni nyumba ya uasi.+