27 Siku hiyo utafungua kinywa chako na kuzungumza na yule aliyeponyoka, nawe hutakuwa tena bubu.+ Utakuwa ishara kwao, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”
22 Basi, jioni ya siku iliyokuwa imetangulia kabla ya mtu huyo aliyetoroka kuja, mkono wa Yehova ulinijia naye akakifungua kinywa changu kabla ya mtu huyo kunijia asubuhi. Kinywa changu kilifunguliwa, nami sikuwa bubu tena.+