Marko 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+ Matendo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na bado hawakuweza kufaulu katika pambano juu ya hekima+ na roho aliyokuwa akisema kwayo.+
11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+