Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+ Luka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+
17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+
15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+