- 
	                        
            
            Marko 13:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        11 Lakini wanapowaongoza nyinyi ili kuwakabidhi, msihangaike kimbele juu ya ni jambo gani mtasema; bali lolote lile mpewalo katika saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si nyinyi mnaosema, bali ni roho takatifu. 
 
-