1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Zaburi 132:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hapo nitaifanya pembe ya Daudi ikue.+Nimetayarisha taa kwa ajili ya mtiwa-mafuta wangu.+ Yeremia 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamsimamishia Daudi chipukizi adilifu.+ Na hakika mfalme atatawala+ na kutenda kwa busara na kutenda haki na uadilifu katika nchi.+ Luka 1:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
5 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamsimamishia Daudi chipukizi adilifu.+ Na hakika mfalme atatawala+ na kutenda kwa busara na kutenda haki na uadilifu katika nchi.+