Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika siku hiyo kile ambacho Yehova anachipusha+ kitakuwa kwa ajili ya pambo na kwa ajili ya utukufu,+ na mazao ya nchi yatakuwa kitu cha kujivunia+ na kitu kizuri kwa ajili ya wale wa Israeli walioponyoka.+

  • Isaya 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+

  • Isaya 53:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye atapanda kama tawi+ mbele ya mtu, na kama mzizi kutoka katika nchi isiyo na maji. Yeye hana umbo la fahari,+ wala utukufu wowote; nasi tutakapomwona, hana sura ili kwamba tumtamani.+

  • Yeremia 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika siku hizo na katika wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi la uadilifu,+ na hakika yeye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+

  • Zekaria 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Tafadhali sikia, Ee Yoshua kuhani mkuu, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wao ni watu wanaotumika kuwa ishara;+ kwa maana, tazama, mimi namleta ndani Chipukizi+ mtumishi wangu!+

  • Mathayo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+

  • Yohana 1:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria,+ na Manabii,+ aliandika juu yake, Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki