Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha wanawake majirani+ wakampa jina, wakisema: “Naomi amepata mwana.” Nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ baba ya Daudi.

  • 1 Samweli 17:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+

  • Mathayo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+

       Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

  • Luka 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 mwana wa Yese,+

      mwana wa Obedi,+

      mwana wa Boazi,+

      mwana wa Salmoni,+

      mwana wa Nashoni,+

  • Matendo 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na baada ya kumwondoa huyo,+ akawainulia Daudi kuwa mfalme,+ ambaye alitoa ushahidi kumhusu na kusema, ‘Nimemwona Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayekubalika kwa moyo wangu,+ atakayefanya mambo yote ambayo ninatamani.’+

  • Waroma 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki