1 Samweli 17:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+ Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akamzaa Daudi+ mfalme.+ Daudi akamzaa Sulemani+ kupitia mke wa Uria;
58 Sauli sasa akamwambia: “Wewe mvulana, wewe ni mwana wa nani?” naye Daudi akasema: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+