12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.
6 Na baba yako akinikosa kwa vyovyote, ndipo useme, ‘Daudi aliniomba kwa bidii ruhusa ya kutokuwepo ili akimbie kwenda Bethlehemu+ jiji lake, kwa maana kuna dhabihu ya kila mwaka huko kwa ajili ya familia yote.’+