-
1 Samweli 20:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Naye akaendelea kusema, ‘Tafadhali niache niende, kwa maana tuna dhabihu ya familia jijini, na ndugu yangu mwenyewe ndiye aliyeniamuru. Basi sasa, ikiwa nimepata kibali machoni pako, acha niende kisirisiri, ili niwaone ndugu zangu.’ Ndiyo sababu hakuja kwenye meza ya mfalme.”
-