Mwanzo 31:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani. 1 Samweli 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Samweli akachukua mwana-kondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa,+ toleo zima; na Samweli akaanza kumwomba Yehova msaada kwa ajili ya Israeli,+ naye Yehova akamjibu.+ 1 Samweli 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akasema: “Kunamaanisha amani. Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu. Jitakaseni,+ nanyi mje pamoja nami kwenye dhabihu.” Ndipo akamtakasa Yese na wanawe, kisha akawaita waje kwenye dhabihu.
54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani.
9 Ndipo Samweli akachukua mwana-kondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa,+ toleo zima; na Samweli akaanza kumwomba Yehova msaada kwa ajili ya Israeli,+ naye Yehova akamjibu.+
5 Naye akasema: “Kunamaanisha amani. Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu. Jitakaseni,+ nanyi mje pamoja nami kwenye dhabihu.” Ndipo akamtakasa Yese na wanawe, kisha akawaita waje kwenye dhabihu.