Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Na ikiwa toleo lake linatoka katika kundi,+ kutoka kati ya wana-kondoo dume au mbuzi, wa kiume,+ asiye na kasoro, ndiye atakayemtoa kuwa toleo la kuteketezwa.+

  • Waamuzi 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nawe umjengee Yehova Mungu wako madhabahu mbele ya ngome hii, kwa mistari ya mawe, nawe umchukue ng’ombe-dume mchanga wa pili, umtoe kama toleo la kuteketezwa juu ya kuni za ule mti mtakatifu ambao utaukata.”

  • 1 Wafalme 18:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki