Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na moto ukatoka mbele za Yehova+ nao ukaanza kuteketeza lile toleo la kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta juu ya madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaaza sauti+ zao nao wakaanguka kifudifudi.

  • Waamuzi 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo malaika wa Yehova akainyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaigusa ile nyama na zile keki zisizo na chachu, na moto ukaanza kupanda kutoka katika ule mwamba, ukaiteketeza ile nyama na zile keki zisizo na chachu.+ Na yule malaika wa Yehova akatoweka machoni pake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ukashuka kutoka mbinguni,+ ukateketeza lile toleo la kuteketezwa+ na zile dhabihu, na utukufu+ wa Yehova ukaijaza nyumba ile.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki