Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na moto ukatoka mbele za Yehova+ nao ukaanza kuteketeza lile toleo la kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta juu ya madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaaza sauti+ zao nao wakaanguka kifudifudi.

  • Waamuzi 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi ikawa kwamba, mwali wa moto ulipokuwa ukipaa kutoka katika madhabahu kuelekea mbinguni, malaika wa Yehova akapaa katika ule mwali wa madhabahu huku Manoa na mke wake wakitazama.+ Wakaanguka kifudifudi mara moja.+

  • 1 Wafalme 18:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ukashuka kutoka mbinguni,+ ukateketeza lile toleo la kuteketezwa+ na zile dhabihu, na utukufu+ wa Yehova ukaijaza nyumba ile.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki