1 Wafalme 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+
38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+