Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo malaika wa Yehova akainyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaigusa ile nyama na zile keki zisizo na chachu, na moto ukaanza kupanda kutoka katika ule mwamba, ukaiteketeza ile nyama na zile keki zisizo na chachu.+ Na yule malaika wa Yehova akatoweka machoni pake.

  • 1 Wafalme 18:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo moto+ wa Yehova ukashuka, ukala lile toleo la kuteketezwa+ na zile kuni na mawe na mavumbi, nao ukaramba maji yaliyokuwa katika mtaro.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ukashuka kutoka mbinguni,+ ukateketeza lile toleo la kuteketezwa+ na zile dhabihu, na utukufu+ wa Yehova ukaijaza nyumba ile.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki