Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ila tu watu walikuwa wakitoa dhabihu katika mahali pa juu,+ kwa maana nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova mpaka siku hizo.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Sulemani na kutaniko lote pamoja naye wakaenda mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni;+ kwa maana hapo ndipo lilipokuwa lile hema la mkutano+ la Mungu wa kweli, ambalo Musa mtumishi+ wa Yehova alitengeneza nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki