1 Wafalme 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ila tu watu walikuwa wakitoa dhabihu katika mahali pa juu,+ kwa maana nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova mpaka siku hizo.+ 1 Mambo ya Nyakati 16:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+ 2 Mambo ya Nyakati 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Sulemani na kutaniko lote pamoja naye wakaenda mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni;+ kwa maana hapo ndipo lilipokuwa lile hema la mkutano+ la Mungu wa kweli, ambalo Musa mtumishi+ wa Yehova alitengeneza nyikani.
2 Ila tu watu walikuwa wakitoa dhabihu katika mahali pa juu,+ kwa maana nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova mpaka siku hizo.+
39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+
3 Kisha Sulemani na kutaniko lote pamoja naye wakaenda mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni;+ kwa maana hapo ndipo lilipokuwa lile hema la mkutano+ la Mungu wa kweli, ambalo Musa mtumishi+ wa Yehova alitengeneza nyikani.