4 Basi mfalme akaenda Gibeoni+ ili kutoa dhabihu huko, kwa maana huko ndiko kulikokuwa mahali pa juu pakuu.+ Sulemani akatoa dhabihu elfu moja za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.+
3 Kisha Sulemani na kutaniko lote pamoja naye wakaenda mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni;+ kwa maana hapo ndipo lilipokuwa lile hema la mkutano+ la Mungu wa kweli, ambalo Musa mtumishi+ wa Yehova alitengeneza nyikani.