1 Mambo ya Nyakati 16:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+ 1 Mambo ya Nyakati 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+
39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+
29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+