Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 naye asimlete kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ ili kumtoa awe toleo kwa Yehova mbele ya maskani ya Yehova, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya damu. Amemwaga damu, naye mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake,+

  • Mambo ya Walawi 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+

  • 1 Wafalme 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hakuondoa+ mahali pa juu.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu kwa Yehova siku zake zote.+

  • 1 Wafalme 22:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Naye akaendelea kutembea katika njia yote ya Asa baba yake. Hakugeuka kando kutoka katika njia hiyo, kwa kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Ila tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hata hivyo, watu walikuwa bado wanatoa dhabihu katika mahali pa juu;+ ila tu ilikuwa ni kwa Yehova Mungu wao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki