Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Bali katika mahali ambapo Yehova atachagua katika moja la makabila yako ndipo utakapotoa matoleo yako ya kuteketezwa, na hapo ndipo utakapofanya yote ninayokuamuru wewe.+

  • 1 Wafalme 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+

  • 1 Wafalme 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hakuondoa+ mahali pa juu.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu kwa Yehova siku zake zote.+

  • 2 Wafalme 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa wangali wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.

  • 2 Wafalme 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • 2 Wafalme 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni mahali pa juu peke yake ambapo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • 2 Wafalme 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nanyi mkiniambia, ‘Tumeweka tegemeo+ letu katika Yehova,+ Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia+ ameondoa, huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii katika Yerusalemu’?”’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ila tu mahali pa juu+ hapakuondolewa; na watu walikuwa bado hawajatayarisha moyo wao kwa ajili ya Mungu wa mababu zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki