52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+
14 Bali katika mahali ambapo Yehova atachagua katika moja la makabila yako ndipo utakapotoa matoleo yako ya kuteketezwa, na hapo ndipo utakapofanya yote ninayokuamuru wewe.+
12 Je, Hezekia siye aliyeondoa mahali pa juu+ na madhabahu+ zake kisha akawaambia Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama+ mbele ya madhabahu moja+ nanyi mfukize juu yake moshi wa dhabihu”?+