2 Mambo ya Nyakati 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, siye Hezekia huyuhuyu aliyeondoa mahali pa juu+ pa Mungu wenu na madhabahu Zake+ kisha akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu moja na kufukiza moshi wa dhabihu zenu”?+
12 Je, siye Hezekia huyuhuyu aliyeondoa mahali pa juu+ pa Mungu wenu na madhabahu Zake+ kisha akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu moja na kufukiza moshi wa dhabihu zenu”?+