22 Nawe ukiniambia, ‘Tunamtumaini Yehova Mungu wetu,’+ je, si yeye ndiye ambaye mahali pake pa juu na madhabahu zake zimeondolewa na Hezekia,+ huku akiwaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii hapa Yerusalemu’?”’+
7 Nawe ukiniambia, ‘Tunamtumaini Yehova Mungu wetu,’ je, si yeye ndiye ambaye mahali pake pa juu na madhabahu zake zimeondolewa na Hezekia,+ huku akiwaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii’?”’+