Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtaleta vitu vyote ninavyowaamuru mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo+—dhabihu zenu za kuteketezwa, matoleo yenu, sehemu zenu za kumi,+ mchango kutoka mkononi mwenu, na kila dhabihu ya nadhiri mnayoweka nadhiri kwa Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Yehova akamtokea Sulemani+ usiku na kumwambia: “Nimesikia sala yako, nami nimechagua mahali hapa kwa ajili yangu ili pawe nyumba ya dhabihu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, siye Hezekia huyuhuyu aliyeondoa mahali pa juu+ pa Mungu wenu na madhabahu Zake+ kisha akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu moja na kufukiza moshi wa dhabihu zenu”?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki