- 
	                        
            
            2 Wafalme 18:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu,+ akazivunjavunja nguzo takatifu, na kuukata ule mti mtakatifu.*+ Pia alimpondaponda yule nyoka wa shaba aliyetengenezwa na Musa;+ kwa maana mpaka wakati huo Waisraeli walikuwa wakimfukizia moshi wa dhabihu, na nyoka huyo alikuwa akiitwa sanamu ya nyoka wa shaba.*
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 31:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
31 Mara tu walipomaliza kufanya mambo hayo yote, Waisraeli wote waliokuwepo wakaenda katika majiji ya Yuda, nao wakazivunjavunja nguzo takatifu,+ wakaikatakata miti mitakatifu,*+ na kubomoa mahali pa juu+ na madhabahu+ katika nchi yote ya Yuda na Benjamini, na pia kule Efraimu na Manase,+ mpaka walipoviharibu kabisa vitu hivyo, kisha Waisraeli wote wakarudi katika majiji yao, kila mmoja kwenye miliki yake.
 
 -