16 Kisha Yehoyada akafanya agano kati yake na watu wote na mfalme, kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova.+ 17 Baada ya hayo, watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuibomoa,+ wakavunja vipandevipande madhabahu zake na sanamu zake,+ nao wakamuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu.