Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Yehova na mfalme na watu,+ kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova, pia akafanya agano kati ya mfalme na watu.+ 18 Baada ya hayo, watu wote nchini wakaenda kwenye nyumba ya* Baali na kubomoa madhabahu zake,+ nao wakazivunja kabisa sanamu zake,+ na kumuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu.

      Halafu kuhani akawaweka waangalizi wa nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 31 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mfalme akasimama mahali pake na kufanya agano*+ mbele za Yehova, kwamba atamfuata Yehova na kushika amri zake, vikumbusho vyake, na masharti yake kwa moyo wake wote na kwa nafsi* yake yote+ kwa kutekeleza maneno ya agano hilo yaliyoandikwa katika kitabu hicho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki