-
2 Wafalme 11:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Yehova na mfalme na watu,+ kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova, pia akafanya agano kati ya mfalme na watu.+ 18 Baada ya hayo, watu wote nchini wakaenda kwenye nyumba ya* Baali na kubomoa madhabahu zake,+ nao wakazivunja kabisa sanamu zake,+ na kumuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya madhabahu.
Halafu kuhani akawaweka waangalizi wa nyumba ya Yehova.+
-