24 Mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno yote ya Sheria hii katika kitabu,+ 25 Musa akawaamuru hivi Walawi wanaobeba sanduku la agano la Yehova: 26 “Chukueni kitabu hiki cha Sheria+ mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitakuwa ushahidi dhidi yenu mahali hapo.