Kumbukumbu la Torati 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mnapaswa kutoa dhabihu zenu za kuteketezwa mahali tu ambapo Yehova atachagua katika mojawapo ya maeneo ya makabila yenu, na huko ndiko mtakapofanya yote ninayowaamuru ninyi.+
14 Mnapaswa kutoa dhabihu zenu za kuteketezwa mahali tu ambapo Yehova atachagua katika mojawapo ya maeneo ya makabila yenu, na huko ndiko mtakapofanya yote ninayowaamuru ninyi.+