2 Wafalme 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nawe ukiniambia, ‘Tunamtumaini Yehova Mungu wetu,’+ je, si yeye ndiye ambaye mahali pake pa juu na madhabahu zake zimeondolewa na Hezekia,+ huku akiwaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii hapa Yerusalemu’?”’+ 2 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:22 w10 7/15 13 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:22 Mnara wa Mlinzi (2010),7/15/2010, uku. 13
22 Nawe ukiniambia, ‘Tunamtumaini Yehova Mungu wetu,’+ je, si yeye ndiye ambaye mahali pake pa juu na madhabahu zake zimeondolewa na Hezekia,+ huku akiwaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii hapa Yerusalemu’?”’+