Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na mara tu walipomaliza hayo yote, Waisraeli+ wote waliokuwa hapo wakaenda katika majiji ya Yuda,+ nao wakazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu+ na kupabomoa mahali pa juu+ na madhabahu+ kutoka katika Yuda+ yote na Benyamini na katika Efraimu+ na Manase+ mpaka walipomaliza; kisha wana wote wa Israeli wakarudi katika majiji yao, kila mmoja kwenye miliki yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, Hezekia siye aliyeondoa mahali pa juu+ na madhabahu+ zake kisha akawaambia Yuda na Yerusalemu: “Mnapaswa kuinama+ mbele ya madhabahu moja+ nanyi mfukize juu yake moshi wa dhabihu”?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki