24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+
16 Kisha akasema: “Enda pamoja nami, utazame jinsi ambavyo sivumilii ushindani+ wowote kumwelekea Yehova.” Nao wakaendelea kumwendesha pamoja naye katika gari lake la vita.