Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+

  • Hesabu 33:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+

  • 2 Wafalme 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki