Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa usiku huo kwamba Yehova akamwambia tena: “Mchukue yule ng’ombe-dume mchanga, yule ng’ombe-dume wa baba yako, yaani, yule ng’ombe-dume mchanga wa pili mwenye miaka saba, nawe ubomoe madhabahu ya Baali+ ambayo ni ya baba yako, na ule mti mtakatifu ulio kando yake, uukate.+

  • 2 Wafalme 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu+ na kuzivunja vipande-vipande zile nguzo takatifu+ na kukata ule mti mtakatifu+ na kumponda vipande-vipande yule nyoka wa shaba+ ambaye Musa alitengeneza;+ kwa maana mpaka siku hizo wana wa Israeli walikuwa wameendelea kumfukizia moshi wa dhabihu,+ naye alikuwa akiitwa sanamu+ ya nyoka wa shaba.

  • 2 Wafalme 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tena akauondoa mti mtakatifu+ katika nyumba ya Yehova mpaka nje ya Yerusalemu, kwenye bonde la mto la Kidroni, akauteketeza+ kwa moto katika bonde la mto la Kidroni na kuusaga ukawa mavumbi, akayatupa mavumbi yake juu ya makaburi+ ya wana wa watu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki