2 Wafalme 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akauondoa mti mtakatifu*+ katika nyumba ya Yehova na kuupeleka nje ya Yerusalemu, katika Bonde la Kidroni, akauteketeza+ katika Bonde la Kidroni, akausaga mpaka ukawa mavumbi na kuyatawanya mavumbi hayo juu ya makaburi ya watu wa kawaida.+
6 Akauondoa mti mtakatifu*+ katika nyumba ya Yehova na kuupeleka nje ya Yerusalemu, katika Bonde la Kidroni, akauteketeza+ katika Bonde la Kidroni, akausaga mpaka ukawa mavumbi na kuyatawanya mavumbi hayo juu ya makaburi ya watu wa kawaida.+