Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+

  • Hesabu 33:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+

  • 1 Wafalme 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ila tu watu walikuwa wakitoa dhabihu katika mahali pa juu,+ kwa maana nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova mpaka siku hizo.+

  • 2 Wafalme 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • Zaburi 78:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki