3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake.
6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+