Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye atakayenijengea nyumba,+ nami hakika nitakifanya imara kiti chake cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+

  • Matendo 7:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Hata hivyo, Sulemani alimjengea nyumba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki