2 Samweli 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Nenda, ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Yehova amesema hivi: “Je, utanijengea nyumba, nikae ndani?+ 1 Wafalme 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo, lakini mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+ 1 Mambo ya Nyakati 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini neno la Yehova lilikuja dhidi yangu, na kusema, ‘Umemwaga damu nyingi sana,+ nawe umepigana vita vikubwa.+ Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa kuwa umemwaga damu nyingi sana duniani mbele zangu.
5 “Nenda, ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Yehova amesema hivi: “Je, utanijengea nyumba, nikae ndani?+
19 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo, lakini mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+
8 Lakini neno la Yehova lilikuja dhidi yangu, na kusema, ‘Umemwaga damu nyingi sana,+ nawe umepigana vita vikubwa.+ Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa kuwa umemwaga damu nyingi sana duniani mbele zangu.