1 Mambo ya Nyakati 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+ 2 Mambo ya Nyakati 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo,+ bali mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+
4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+
9 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo,+ bali mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+