2 Samweli 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+
12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+