3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake.
8 Lakini neno la Yehova lilikuja dhidi yangu, na kusema, ‘Umemwaga damu nyingi sana,+ nawe umepigana vita vikubwa.+ Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa kuwa umemwaga damu nyingi sana duniani mbele zangu.