5 Kwa hiyo akawakusanya makuhani+ na Walawi na kuwaambia: “Nendeni katika majiji ya Yuda, mkusanye pesa kutoka kwa Israeli wote ili kuirekebisha+ nyumba ya Mungu wenu mwaka baada ya mwaka;+ nanyi mtende jambo hili haraka.” Na Walawi hawakutenda haraka.+