5 Kwa hiyo akawakusanya makuhani na Walawi na kuwaambia: “Nendeni kwenye majiji ya Yuda mkusanye kutoka kwa Waisraeli wote pesa za kurekebisha nyumba ya Mungu+ mwaka baada ya mwaka; nanyi mnapaswa kushughulikia jambo hili haraka.” Lakini Walawi hawakulishughulikia jambo hilo haraka.+