Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehoashi akawaambia makuhani: “Chukueni pesa zote zinazoletwa katika nyumba ya Yehova kwa ajili ya matoleo matakatifu,+ pesa ambazo kila mtu amekadiriwa kutoa,+ pesa zilizotolewa kama thamani iliyokadiriwa ya mtu,* na pesa zote ambazo moyo wa kila mtu umemchochea kuleta katika nyumba ya Yehova.+ 5 Makuhani wenyewe watachukua pesa hizo kutoka kwa wale wanaozitoa* na kuzitumia kurekebisha nyumba hiyo, sehemu yoyote iliyoharibika.”*+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mwezi wa kwanza, aliifungua milango ya nyumba ya Yehova na kuirekebisha.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Walienda kwa kuhani mkuu Hilkia na kumpa pesa zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Mungu, ambazo Walawi waliokuwa walinzi wa malango walikuwa wamekusanya kutoka kwa watu wa kabila la Manase, Efraimu, na Waisraeli wengine wote,+ na pia kutoka kwa watu wa Yuda, Benjamini, na wakaaji wa Yerusalemu. 10 Kisha wakawapa pesa hizo wale waliowekwa kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova. Halafu wafanyakazi waliokuwa katika nyumba ya Yehova wakazitumia kuikarabati na kuirekebisha nyumba hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki