2 Wafalme 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba kufikia mwaka wa 23 wa Mfalme Yehoashi, makuhani hawakuwa wamerekebisha mipasuko ya nyumba.+ Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+ Mhubiri 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya uvivu mkubwa paa ya jengo hubonyea, na kwa kushusha mikono, nyumba huvuja.+
6 Na ikawa kwamba kufikia mwaka wa 23 wa Mfalme Yehoashi, makuhani hawakuwa wamerekebisha mipasuko ya nyumba.+
4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+