Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+ Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+ Methali 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+
24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+
4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+
5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+